NYAMAKA TWEVE ANIMATION

Tuesday, June 5, 2012


MTV MOVIE AWARDS 2012

Hollywood was in a frenzy last night with all the stars and starlets that showed up for the 21st annual MTV Movie awards.
Girls with short dresses, boys with hilarious pranks, and some good music always seems to make for a good show! But we have to remember the most important people of the night: the lucky ones who took home the cherished golden popcorn!
These winners include:

"The Twilight Saga: Breaking Dawn - Part 1" for Movie of the Year
Josh Hutcherson, "The Hunger Games" for Best Male Performance
Jennifer Lawrence, "The Hunger Games" for the Best Female Performance
Melissa McCarthy, "Bridesmaids" for the Best Comedic Performance
Shailene Woodley, "The Descendants" for Breakthrough Performance
"Harry Potter and the Deathly Hallows, Part 2" for Best Cast
Elizabeth Banks, "The Hunger Games" for Best On Screen Transformation
Jennifer Lawrence and Josh Hutcherson vs. Alexander Ludwig, "The Hunger Games" for Best Fight
Robert Pattinson and Kristen Stewart, "The Twilight Saga: Breaking Dawn - Part 1" for Best Kiss
"Bridesmaids" for Best Gut Wrenching Performance
Jennifer Aniston, "Horrible Bosses" for Best On Screen Dirtbag
Party Rock Anthem," LMFAO ("21 Jump Street") for Best Song.
SHOW YA SUGU, JUMA NATURE, PROF JAY JANA DAR LIVE

Sugu akiwarusha mashabiki waliofurika ndani ya Dar Live usiku wa kuamkia leo.
Sugu na Mkoloni wakizidi kuwadatisha mashabiki.

Profesa Jay akiwapa burudani mashabiki wa Dar Live.

Mbunge wa Arumeru Mashariki (Chadema), Joshua Nassari nae akitoa 'verse' kuupamba usiku wa Sugu ndani ya Dar Live.

Mbunge wa Arumeru Mashariki (Chadema), Joshua Nassari nae akitoa 'verse' kuupamba usiku wa Sugu ndani ya Dar Live.

Kundi la Naukala Ndima likifanya vitu vyake stejini.


Mbunge wa Kinondoni (CCM), Idd Azzan akiwasalimia mashabiki wa Dar Live.

Baadhi ya mashabiki wakiwa katika picha ya pamoja na Mhe. Sugu.
KESI YA LULU INAYOHUSU KIFO CHA MWIGIZAJI FILAMU MAREHEMU STEVEN KANUMBA KUPIGWA KALENDA MPAKA JUNI 18 2012
 MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi ya Kisutu ya jijini Dar es Salaam, jana ililazimika kumwita na kumpandisha kizimbani msanii wa filamu Elizabeth Michael ‘Lulu’ anayetuhumiwa kwa kusababisha kifo cha aliyekuwa msanii nyota Steven Charles Kanumba kilichotokea Aprili 7 mwaka huu.
Lulu alipandishwa kizimbani kwa mara ya kwanza majira ya 9:02 asubuhi mbele ya hakimu Mkazi Agustina Mmbando ambapo Mwendesha Mashtaka wa Serikali Kenneth Sekwao aliomba mahakama hiyo kupanga tarehe nyingine kwa upelelezi wa kesi haujakamilika.
 
 Luku akiwa na ulinzi wa Askari Magereza leo asubuhi wakati alipofikishwa Mahakamani hapo.


Hapa akitoka Mahakamani ambapo kesi hiyo imepigwa Kalenda hadi Juni 18 mwaka huu , uchunguzi bado haujakamilika.

Msanii huyo ambaye anatetewa na mawakili Fulgence Massawe ambaye jana alimwakilisha wakili Kennedy Fungamtama kesi hiyo iliahirishwa kimakosa hadi juni 26 jambo ambalo lilifanya Lulu kurudishwa kizimbani wakati wakijiandaa kuondoka Hakimu alimtaka arudishwe tena kizimbani.
Majira ya saa 9:43 lulu akiwa chini ya ulinzi huku akiongozwa na askari magereza wa kike na wa kiume wasiopungua 15 hyuku msanii huyo akiwa amevalia vazi la buibui jeusi na mtandio mweusi pamoja na raba nyeusi alionekana kushtushwa na kitendo cha kurudishwa tena kizmbani lakini Hakimu Mmbando alimuelewesha kuwa tarehe ya awali ilikosewa.
Kesi hiyo imeahirishwa hadi tarehe 18 Juni mwaka huu kwa sababu mshitakiwa yupo rumande anapaswa kupandishwa kila baada ya wiki mbili.
Hata hivyo Juni 11 mwaka huu Lulu anatarajiwa kupandishwa tena Mahakama Kuu mbele ya Jaji Fauz Twaib kusikiliza shauri aliloomba kupitia kwa wakili wake la kutaka kutambuliwa kama mkosaji mtoto.

AKUOT PHILIP SUZAN NDIYE MISS EAST AFRICA SOUTHERN SUDAN

Mrembo atakayeiwakilisha Nchi ya Sothern Sudan katika mashindano ya Miss East Africa 2012 amepatikana.

Mrembo huyo ni Miss Akuot Philip Suzan (20) mwenye urefu wa futi 6.1 anaekaa Juba, Sudan ni mwanamitindo Nchini humo na anatarajia kujiunga na chuo kikuu cha makelele Nchini Uganda mwaka huu.
Warembo ambao tayari wameshapatikana kutoka katika Nchi mbalimbali kwa ajili ya mashindano hayo ni mwakilishi wa Eritrea: Miss Rahwa Afeworki (22), kutoka Ethiopia ni: Miss Lula Teklehaimanot (19) na Miss Ayisha Nagudi (23) ambae ni mwakilishi wa Uganda.


Nchi zilizobaki zinaendelea kutafuta wawakilishi watakaoziwakilisha Nchi zao katika mashindano ya Miss East Africa 2012 ambayo yatazishirikisha Nchi 16 za ukanda huu ambazo ni Tanzania (wenyeji), Kenya, Uganda, Rwanda na Burundi. Nchi zingine ni Southern Sudan, Somalia, Djibouti, Eritrea, Ethiopia pamoja na visiwa vya Mauritius, Madagascar, Comoros, Reunion na Seychelles.
Mashindano ya Miss East Africa ndio mashindano makubwa ya urembo kwa ukanda huu wa Africa.
Fainali za mashindano ya Miss East Africa ambazo huandaliwa na kumilikiwa na Kampuni ya Rena Events Ltd, zitafanjika tarehe 07 mwezi September mwaka huu jijini Dar es salaam, Tanzania. 

HAPPY BIRTHDAY DEVOTA DIVA

Devota  Diva wa ukweeh
baadhi ya vimiminika
counter ilikuwa chini ya Herry star
Sisters, Roberta n Diva
cousins
Mishy,Devota n James
mama K
J wake lo,Jacky  &Vivy
ladies
Mishy,bibi harusi mtarajiwa n Sarah
keki ilisindikizwa hivii

black forest na moet
Vivy n Diva
heeeeee
stunning
Bea n Sintah
heyyyy Chinekeeeeeee  huooo

1 comment: